Ayo ni DJ Shiti aka Kolokolo Munyanye
Na leo tunataka kusondeka
Tabia tofauti tofauti ambayo hatupendi kwa hii jamii
Tabia ya maslayqueen kula pesa ya wanaume hata ya wale wa mjengo
Mtu mzima kukojoa kwa matandiko halafu anawekelea watoto
Kutumia watu ‘Please Call Me’ na uko na iPhone, Shindwe!
Rixxx, finya hiyo kitu
Usibishane na babu wewe
Tunasondeka yeeeh, tunasondeka(Are you ready?)
Tunasondeka, tunasondeka Na tuko tu Pacho kwani boss(Rixx Matatizo)
Tunasondeka chii, tunasondeka(Ah Naiboi)
Tunasondeka, tunasondeka Tunarekebisha
Are you ready?(Nai Nai) Are you ready?(Nai Nai)
Nikuje?(Hapana) Nikuje?(Hapana)
Tunasondeka kwa charger hakuna socket
Si tu charge kwanza nishalipa token
Charger ya smartphone sina pin ndogo
Hakuna mangoko na hapa mi ndio jogoo
Niko na idea, chunga utaingia
Si rahisi uliza hadi Nadia Mmh
mapunyeto saka una dhiki
Na mangeus wako ni mashabiki
Ikikataa there is no regretting
Tuna iswitch back to factory setting
Na mi ndo dawa kwa hizi factory zenyu
Nawaka ka star so mashawties wenyu
Wamenifuata mtaa, wanasoma menu
Wamenipata njaa nadishi chakula zenu
Leo nitaisondeka na hapa ndio venue
Chapati kalia mi nikicheza na ndengu
Onyesha hiyo mbegu, (wee) mi si kitabu
Siwezi someka, sipigi kavu
Siwezi chomeka(Boom)
Na bado naisoma mpaka che
Naipiga na naipika ilie kama fee
Ah backup the place kama mende kwa giza
Bless so royal, alikuwa na mikono ya miujiza(Riswa!)
Nice pretty face with a bami ya figa
Leo ni kuisondeka kama mpira LaLiGa
Tunaisafisha mitambo iyee Tukizipeleka Wordwide(eey)
ah Naiboi fanya mambo Yeah we pray for your long life
Fix it Naiboi
Wasanii mpaka lini? kukaliwa chini Our whole lives ooh no
Round hii tumekam kuwakomesha Round this tumekam kuwasomesha
Pima miti utajua ni ya mluja
Shot nakupea moja ka ya Drogba
Kinyama nyama itabidi umengoja
Kuna line na hujapiga hata order
Uliota na kitu inakaa ka nyoka
Haina macho lakini inakuona
Inapenda kuingia na kutoka
Inapenda joto saa ya mboka
Kevo anadai ananidai na hana ndae Eti alipe Uber, Tunasondeka!
Kwa DM wanakazana wanisend nudes Waone boobs na mathutha(Ate what?)
Behind the scenes nimecarry alot Napiga matots kwenye parking lot Ah,
mbele mbele nawapita na force Sidigi nyuma niwe chumvi kama bibi ya Lot
Sikuli doh ni kusave niwai shamba Namanga Kwa border ndani ya ndae si na ujue luku ni pamba
Kwa rap we ni credo vile nimewabamba Niite Femi Uno and you know vile tunawafanyanga
Tumependa sana mikiki na mambo ya dunia
Mambo ya kujaza maji ndani ya gunia
Tulia, vulia lazima kuyaogea Ujana ni moshi ndio maana unavutia
Raha jipe mwenyewe Juu hakuna wa kulinganishwa nawe
Ukitingisha kiberiti Chunga tu kulipua baruti mama
Nia ni ile ile Asilimia vile vile Kuja nawa mbona uje tule leo
Watapiga vigelegele Na kesho wakusulubishe Lazima tuwarekebishe
ndio maana Tunasondeka, tunasondeka Oooh Ikileta shida
Tunasondeka tunasondeka
Vruum! Gari ni biggy gurudumu(Wivu)
Hapo nyuma guza pumblu bum(Wivu)
Mwenye wivu ajichapa uchungu(Ni malaria huyo)
Piga umbu Doom! Party namada, ka hunipati jo bila panty balaa
Naeza ikata ka nyama haina mifupa dada
Masomo niko sawa si nimewasoma ala Ni satisfy, nikupe certificate haha
Baby kamata madingo Happy to be rumored I drove your ego
Na hivi ndo wataheshimu maandiko Boy Naiboi ame ashame the Devil
Kwa social media unatutesa We ni baller unatuthago vile umemako pesa(Tunasondeka)
Ati zako ni ma 5 star na mtaa bado we hulalia double decker(Tunasondeka)
Ati huwezi kula skuma, umezoea chakula ya Ole Sereni(Tunasondeka)
Kumbe we ni client ile baze ya Nyaga chapo ndondo pia hukula na deni(Tunasondeka)
Ati juzi ulikuwa Dubai sherehe na ni kaa si hatujui(Tunasondeka)
But niaje tena ulionekana Nyama Kima ndani ya bus za kwenda Kitui(Tunasondeka)
Ati umeshika gari mbichi ka zile sisi huona kwa movie man(Tunasondeka)
Hiyo ni vako si we hubebwa na Mwangi ju najua uko nduthi gang(Tunasondeka)
Ati we na Uhuru mko related so unataka tukuskize fiti(Tunasondeka)
Thats a lie ju labda msee anakujua ni Omwami ama Dj Shiti(Tunasondeka)
MCSK juzi wamentumia thao mbili soo tano(Tunasondeka)
So napanga kuwavuruga hizo peanuts hatutaki ero kamano(Tunasondeka)
Naiboi to the World, no Mpasho, finger to the Paparazzi(Tunasondeka)
Kujifanya hautujui si ni ufala, vijana muwache mihadarati(Tunasondeka)
Fast-budding Nigerian artist Omaye’s single “Tell Them” arrives with assurance that usually takes artists a few releases to earn. He keeps it tight, too. The track runs 2 minutes and 17 seconds, and it uses every second with purpose. In a lane where bigger often gets mistaken for better, Omaye shows how far a clear idea can travel when the writing and performance stay focused.
“Tell Them” plays like a self-empowerment chant built from a hardened, never-say-never mindset. The message is straightforward: put in the work, stay locked in, and trust destiny to meet you halfway. Omaye delivers it with a calm steadiness, the sort of quiet confidence that suggests he already sees the finish line. You can hear the belief that his moment is on schedule, and that nothing is going to shake him off course.
The sound matches that mindset. Omaye’s Afrobeats foundation gives the record its swing, while gurgling Amapiano synths bubble underneath and add a subtle lift. The production stays clean and restrained, leaving plenty of air for the vocal. Omaye’s delivery is crisp and polished, gliding over the beat with clarity. He never rushes the pocket. Each note feels chosen, each inflection considered, as if he’s more interested in landing the feeling than showing off technique.
What makes “Tell Them” linger is its emotional balance. It’s catchy and undeniably infectious, yet it carries weight. The hook sticks because the sentiment does, and the track rewards replay for more than its bounce. Omaye isn’t reaching for drama or putting on a persona. He’s capturing a mindset shaped by struggle, resilience, and self-belief, then letting that honesty do the heavy lifting. By the time the song ends, the confidence feels earned rather than advertised.
With “Tell Them,” Omaye comes off as a storyteller who knows what he wants to say and how to say it. The track reads as proof that he has the tools to connect with fans of Afrobeats, Amapiano, and Hip-Hop alike, and to do it without diluting his voice. The direction is clear. The hunger is right there in the phrasing.
Now streaming on Apple Music, “Tell Them” lands as a statement of intent and a clean introduction for anyone meeting him for the first time. If this single is a preview, the question around Omaye’s rise is timing, not possibility. Time feels like the only gap between him and the next level.
The release is also a milestone: “Tell Them” is Omaye’s first professionally recorded single, and it sets the stage for his upcoming EP “17EEN,” which is close on the horizon. Keep the name Omaye in your head. You’re going to hear it again.
IurisEkero has always had that producer aura where every synth feels like it’s holding hands with your feelings. On AURA, that instinct expands into cinematic storytelling. He even marked the release with a sunset ceremony at the base of the Andes, like he was unlocking a secret level in a music RPG. You can’t fake that kind of commitment. It gives the album a clear vibe: this is meant to be lived, not treated like something you leave running in the background.
He stays in a contemporary pop lane, polished but heartfelt, digital yet soft around the edges. The textures are warm. The vocal layers feel like a hug. And there’s a sense that each song stands as its own emotional chapter. The point is mood-building, not novelty. AURA ends up feeling like 16 different emotional passports, each stamped with a slightly different shade of hope, doubt, desire, or relief.
The album kicks off with “The Password Of My Heart,” a title that sounds cheesy until the production hits. Then it turns into a confession wrapped in shimmering synths. He moves gently, almost whisper soft, and the chorus floats in like he’s opening a door you weren’t sure you should walk through. It’s a smart opener because it sets the standard early: sweetness, yes, but with detail and control.
“Didn’t See You Today” brings the jolt. It’s dance pop in full gear, bright, jumpy, and built around a beat that sounds designed to rescue someone from a bad mood. The female vocals glide across the instrumental with precision, as if they arrived already locked into the same emotional tempo. The track is glossy, but it keeps the album’s softness intact, the warmth never drains out.
In the middle, “Aura” sits like a breathing space. It’s modern pop with emotional density, yet airy enough that you can drift with it. This is the one you play while staring at something far away, pretending you’re in a movie even if you’re just sitting on a bus. The hook doesn’t have to shout. The feeling does the work.
The crown jewel is “We Are All In One,” the single that has already pushed past 222k streams on Spotify. The appeal is immediate. The lyrics read like a sunrise pep talk from your favorite person:
“Woke up dreaming. Sky is clear, got the world beneath my feet…”
“Every moment, every glance feels like magic.”
“You’re my fire, my best friend.”
It’s warm, melodic, and sweet, and it carries an electronic bounce that keeps it from getting too soft. Romantic, yes, but it avoids the clingy tone that can flatten songs like this. It lifts you up without turning into a self-help poster. This is the track for the walk home after a long day, the moment you need a reminder that life can still glow.
The deeper cuts give the album its emotional spine. “Even Miracles Take a Little Time” and “Invisible Gravity” lean into introspection with an almost therapeutic honesty. Then he pivots into higher energy with “Let’s Ignite the Night” and “Cut Loose,” tracks that feel like the soundtrack to the moment you decide to stop overthinking everything. The shifts don’t feel random. They read like a real emotional arc, the way a night out can start with doubt and end with release.
As the album closes with “Don’t Get Your Hopes Up,” he returns to vulnerability, the real kind, not the Instagram caption version. The yin and yang in his music stays front and center, joy alongside uncertainty, light alongside shadow. That duality is what makes AURA feel human.
And that Andes launch seals the whole concept. He turned an album into a communal moment. As the sun dropped, each track played like a ritual chapter, a shared breath between strangers. It transformed AURA from a playlist into a lived memory. Artists talk about unity. Here, he actually staged it.
If you want more than background music, AURA is a recommendation. Each track is layered with feeling, melody, and energy that makes you hit replay before the last note fades. Stream it, share it.
Katika wimbo wao mpya wenye mchangamsho “Play Your Clarinet!”, Into the Blood wanaunganisha midundo ya kielektroniki inayoshika kwa urahisi na mgeuko wa kusisimua: solo la klaneti lenye mionjo ya jazz kutoka kwa Peter Fuglsang. Uchezaji wake unaongeza mguso wa uchezaji wa moja kwa moja unaokamilisha msingi wa kidijitali wa wimbo huu, na kuunda tukio la kipekee kabisa la kusikiliza.
Wimbo huu utazinduliwa kimataifa tarehe 22 Novemba katika lugha 11 tofauti—ikiwemo Kiswahili, Kifaransa, Kiingereza na Kichina n.k.—pamoja na toleo lisilo na sauti za kuimba.
Jiunge nasi katika safari ya kimataifa Acha “Play Your Clarinet!” ikupeleke kuvuka mipaka, sauti na tamaduni. Wimbo mmoja. Lugha kumi na moja. Utasikika kwenye majukwaa yote makubwa ya kusikiliza muziki mtandaoni, na video za maneno ya wimbo zitapatikana kwenye YouTube. Jifunge mkanda na ufurahie safari!
Kuhusu Into the Blood Duo la Into the Blood—Jens Brygmann (sauti za kuimba na ngoma za kidijitali) na Carsten Bo Andersen (kinanda na sintesa)—imekuwa ikifanya kazi tangu mwaka 2016. Muziki wao umekuwa ukipigwa kwenye vituo mbalimbali vya redio duniani, vikiwemo vya Uingereza, Australia na Ufaransa.
Toleo la asili la “Play Your Clarinet!” pia linapatikana kwenye rekodi ya vinili ya inchi 12 kama sehemu ya mradi wao mkubwa wa Destination 11, unaojumuisha video ya muziki ya dakika 11. Video hiyo imewahi kuonyeshwa katika matamasha mbalimbali ya kimataifa ya filamu fupi, na hadi sasa tayari imeshinda tuzo mbili nchini India, kufikia hatua ya fainali kwenye East Village New York Film Festival na Las Vegas International Film & Screenwriting Festival, nusu fainali kwenye Seattle Film Festival na robo fainali kwenye Synergy Film Festival huko Los Angeles.
Mradi wa Destination 11 umefadhiliwa na White City Consulting na Custom Coaching.