MUSIC

Harmonize Ft Mr Blue – Inanimaliza

Published

on

Harmonize Mr Blue Inanimaliza Lyrics:

First time when I saw you nilitamani nikueleze
How I feel that was dream come true
Alau macho nikukonyeze maybe you can feel asuu
Moyo ungekuaga kitabu ningefunia uone yaliyomo ndani

Yani mwenzako napata tabu sina furaha ata tone
Nioneege imani oh my love (Ooohoo}
Macho yanaona kama umejibu yes, moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes, moyo unaona kama umesema no oooh

Nonono kusema kweli mi inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Baylon easy yeah ah
Chibonge nimekua kibaombao

Ghafla chui nimekua kinyau nyau
Mpaka sijui nayosema nimesahau
Vita ya penzi imekua kama maumau
Nikiona sura nakonda nikiona chura nasindwa kubonga

Nakua mbulura masikini omba omba
Kutwa nazurura kutuliza kidonda
Maumivu kama yangu anayo Konde Boy
Namtuliza mwanangu ahh usikonde boy

Macho yanaona yes akili inasema no nooo atakukazia
Macho yanaona kama umejibu yes moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes moyo unaona kama umeseme no no nonono
Yeah kusema kweli mi inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza

 

Latest Harmonize Songs

Harmonize Mr Blue Inanimaliza Lyrics

We hope you Liked our Harmonize Mr Blue Inanimaliza Lyrics!

 

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version