Dully Sykes Ft Harmonize – Nikomeshe (Official Audio)
Dully Sykes Harmonize Nikomeshe Lyrics:
Oooh No,
Kesi serious…
Chii Konde Boy
Kwacho kwacho kwapa(brr Okey)
Wanishika kwa hapa(brr Okey)
Kwacho kwacho kwapa(brr Okey)
We nishike kwa hapa
She is so fine, anapendeza hata bila vipodozi
Eeh, and I love she giving me over dozi
Eeeh, I love the way you move your body
(Eeh eeh body oooh)
Unanipandisha midadi (eeh eeh body oooh)
Basi go down, kwa nyuma
Fanya kama mbuzi amegoma
Slow down kwenye kona, ii
Mwisho wa reli kigoma
Nikomeshe!
Mpaka chini waonyeshe
Aah, asa beiby nikomeshe
(Fanya kama unadunda, aah unadunda)
Mpaka chini waonyeshe
(Ebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
(Iii, fanya kama unadunda, aah unadunda)
(Hebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
Nasema sikuwatch, beiby nakukunda
Unavyo ilamba mie hoi
Unajuwanga kuni touch
Nani kakufunda, hiyo misamba sikohoi
Eeeh, waking’ata nakuuliza we
Kwa jiko watenga ni kuunguza kisoi
Yaani tuzidi kuwaumiza we
Naleta washenga tuwaache igizo we
Itafune ing’ate ka Big G Aaah kama Big G
Kisha nikumbate tujigiji
Aaah tujigiji
Nikomeshe!
Mpaka chini waonyeshe
Aah, asa beiby nikomeshe
(Fanya kama unadunda, aah unadunda)
Mpaka chini waonyeshe
(Ebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
(ii, fanya kama unadunda, aah unadunda)
(Hebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)