LYRICS

Susumila ft. Nadia Mukami – Chomeka

Published

on

Susumila Nadia Mukami Chomeka Lyrics:

Ebu nichezee beat haha
Konde boy dembwe dembwe dembwe
Toto liko dembwe dembwe dembwe
Nadia, Sultan, 001

(Teddy B)

Mtoto msupa na kiuno ni majanga yeah
We Mukami wee
Ulivyo fiti kama mi na wa Jalang’o we
Mamacita wee

I got one purpose niite commando
Speedi 4G Whatsapp bila bundle
Kwako sita retire umenikamata
Unavyo-shine sio mchafu kama mabata

I’ve never seen kama ulivyo
Mtoto kiuno kama goro
Shape nyumbu nyumbu ulivyofungisha
Unanipandisha mori kama mmasai

Umefundishwa na nani wee
Umetoka Udigoni wee
Bigo zako swagga zinachanganya
Nipeleke mpaka nichizi wee

Chomeka, chomeka
Chomeka hio pin charger
Chomeka, chomeka
Chomeka hapana mlima Kitonga eeh

Chomeka, chomeka
Chomeka hio pin charger
Chomeka, chomeka
Chomeka hapana mlima Kitonga eeh

ah ah, ah ah pekejeng pekejeng
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng

Kwako niweke mkandarasi
Nitajenga daraja la mapenzi
Warukia dhahabu na almasi
Hili penzi letu lizidi nyooka wee

Unashindaga Mamacita
Holy fire fire
Utamu ng’ari ng’ari yuwaniita
Macho kama unaniita

Anapendahga ninavyosakata kadanda
Mauno ya Pwani yaani Mombasa
Kisuru wakawaka umenikamata
Kwenye kiza totoro nitawasha taa

Latest African Music

Chomeka, chomeka
Chomeka hio pin charger
Chomeka, chomeka
Chomeka hapana mlima Kitonga eeh

Chomeka, chomeka
Chomeka hio pin charger
Chomeka, chomeka
Chomeka hapana mlima Kitonga eeh

ah ah, ah ah pekejeng pekejeng
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng

Eeeh, eeh eeh, eeeh, eeh eeh
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng
ah ah, ah ah pekejeng pekejeng

Susumila Nadia Mukami Chomeka Lyrics

\

Hope you Liked our Susumila Nadia Mukami Chomeka Lyrics!

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version