MUSIC

Rayvanny Ft Mr Blue – Mama La Mama

Published

on

Rayvanny Mr Blue Mama La Mama Lyrics:

Mama la mama
We ndio mama, mama
Mama la mama

Aah, yo ah

Nikitazama sura yake
Namwona modo
Naiona taswira ya adabu
Siioni nyodo

Nauona papai alafu nafwata embe dodo
Nawaona wasopenda amani wote macho kodo
Ningepeleka wapi hichi kichwa kigumu
Ningepata wapi mwanamke wa kudumu

Latest African Music

Ajiunge na wasafi tusukume gurudumu
Na munajuanga sitaki haya mambo ya kunywa sumu
Aah mama la mama ooh mama mia aah
Kwako nimezama nimezama nimezamia

Nihifadhi kama maji kwenye mwili wa ngamia
Usijali kuhusu mambo ya tango na vibamia
Nichakaze shawty nikanyage sorry
Kwangu kuwa mchaga asubuhi nile kama mtori

Tafadhali shawty
Usinipandishe mori
Na ukinipa nyama
Naila kama mnyama pori

We ndio mama, mama
Mama la mama
We ndio mama, mama
Mama la mama

We ndio mama, mama
Mama la mama
We ndio mama, mama
Mama la mama

Rayvanny Ft Mr Blue – Mama La Mama

Hope you Liked our Rayvanny Mr Blue Mama La Mama Lyrics!

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version