MUSIC

Aslay – Naenjoy

Published

on

Naenjoy Aslay Lyrics:

Wa leo
mimi wa leo
Wa leo
sio wa jana
Aslay

Maisha ndo yale yale Aah
kuteswa ni kama funzo Mmh
mengine tuyasamehe Oooh
tusiweke viulizo

Kikubwa uhai
Nashukuru ninao sijakufa
Ila kuhusu mapenzi sitaki show
Nimeyakuta

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena
kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena

mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena
kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima Eeh eeh eeh
Bora nitulie  Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama Oooh naenjoy, naenjoy sana

Latest African Music Here

Nakukumbatia mtafuna roho yake
Asikwambie mtu, mtu yeyote Ah,
jamani shuka zina joto lake A
sikwambie mtu, kitu chochote

Kugandana gandana Kuzuga tunapendana
Mwisho twaaza kuulizana
Sitaki Mila sizitaki nyama
Kupenda nimesimama Moyo wangu umegoma Hautaki ng’o

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena
kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena

mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena
utwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh
Bora nitulie
Umri wangu mi bado mdogo Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama Oooh naenjoy, naenjoy sana

Naenjoy Aslay Lyrics

Hope you liked our Naenjoy Aslay Lyrics!

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version