MUSIC

Marioo – Unanikosha

Published

on

Marioo Unanikosha Lyrics:

Mmmm aah
Weka utamu lady
Kabla hakujakucha my lady
Mmm ah nahisi nadedi
Ukisimama kwa ukucha my lady

Ah
Nahisi joto sio joto
Baridi sio baridi
Mm nakuwa katoto
Katoto unavyonifariji

Hizo bingili bingili mpaka chini
Nakupa bingili bafuni kabatini
Baby lako timbuli timbuli la Kijini
Mmm ah ah

We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
Ah ah umenikaa ah
We ndo unanikosha
Mm ah umenikaa ah
We ndo unanikosha

Bebe nipe tena kimoko
Kisheti ninywe na chai
Wakose la kusema wanoko
Nipeti niwe nishai

Latest Bongo Songs

Ni wewe lazizi nahisi nimeenyeka sana
Nataka nikutoe baby kopa kabana
Ni wewe lazizi unajuwaga kueneka bana
Nataka nikutoe bedi

Hizo bingili bingili mpaka chini
Nakupa bingili bafuni kabatini
Baby lako timbuli timbuli la Kijini
Mmm ah ah

We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
Ah ah umenikaa ah
We ndo unanikosha
Mm ah umenikaa ah
We ndo unanikosha

Niko nyuma naikota, Dondosha
Mm ah Dondosha
Ukisema naikokota, Dondosha
Mm ah Dondosha

Fanya kama kuisokota, Dondosha
Ah ah Dondosha
Bora kama inatokota, Dondosha
Ah iyee Dondosha

Marioo Unanikosha Lyrics

We Hope you Liked Marioo Unanikosha Lyrics!

 

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version