Lava Lava Habibi Lyrics
Una rangi ya chotara
Mangamanga asili ya ki-Zanzibari
Chokoleti colour mixer mTanga Tanga
Una ng’ara ng’aring’ari
Ngozi laini kanchori, sambusa bhagia
Upo kama mdoli, yaani kama wa bandia
Eeeh eeh eeeh..
Ukitembea koko(Koko)
Huko nyuma baikoko(Koko)
Mzigo siwabuku ngojero
Sotojo la bokoboko(Boko)
Laini nyanya ya kopo(Kopo)
Yaani bonyero bonyero
Eeeh achana naki naki
Hawana lolote
Watazusha na wajigi jigi
Penzi watie tope
Nikupeleke kwa bibi Tiffah ama Dangote
Uvae shehe la wigi
Utapata kwa Aristote
Habibi(Habibi)
Nuru laini kipenda roho(Habibi)
Nyonga mkali haini
Uwooo(Habibi)
Habibi(Habibi)
Nuru laini kipenda roho(Habibi)
Nyonga mkali haini
Uwooo uwooo
Penzi lisiwe dibaji
Zidisha utamu tende
Mahaba yawe full charge
Tukomeshe visadi viwebe
Nikande kande masaji
Wabaki kupiga vijembe
Wakailiki magadi
Ongeza na peremende(Aah)
Mchunge shetwani
Mama twende pole pole(Aah)
Kuna Esma, Khan
Akina Juma Lokole(Aah)
Wasikupande kichwani
Wakazua mambo ya uchochole(Aah)
Iwe aibu mtaani
Insta michambo wanichore
Achana naki naki Hawana lolote
Watazusha na wajigi jigi
Penzi watie tope
Nikupeleke kwa bibi Tiffah ama Dangote
Uvae shehe la wigi
Utapata kwa Aristote
Habibi(Habibi)
Nuru laini kipenda roho(Habibi)
Nyonga mkali haini
Uwooo(Habibi)
Habibi(Habibi)
Nuru laini kipenda roho(Habibi)
Nyonga mkali haini
Uwooo uwooo
(Ayolizer)
Usije kughairi ghairi
Mi mwingine sina
Usije kughairi ghairi
Penzi likachina
Usije kughairi ghairi
Ukanitosa mazima
Usije kughairi ghairi Nuru ikazima (Wasafi)
Lava Lava – Habibi (Official Music Audio)
Follow Lava lava on Instagram: https://www.instagram.com/iamlavalava/