MUSIC

Christian Bella ft AY – Pete

Published

on

Christian Bella Pete Lyrics

Christian Bella Feat AY& Mwana FA | PETE | Official Music Video

Christian Bella Pete Lyrics

Hii ni ingine tena
Kwa wote ambao tunapendana
Hii ni ingine tena
Kwa wote ambao tunapendana

Usiku wa leo, ninaweka wazi
Ninavyokupendaga wewe
African beautiful girl
Kwa kweli umeumbika

Uzuri wako nnje mpaka ndani
Majirani wanaona kero
Changu chako yaani burudani
Kwa kweli nimefall in love

Nimezunguka kila bara
Kama wewe sijaona
Niko raha si kutupa pesa
Mali tukazunguke dunia

Marafiki, baba, mama
Nimeshapata chaguo langu
Tunafunga ndoa
Tutaishi kwenye shida na raha

Namvisha pete
Namvisha pete(Namvisha pete)
Namvisha pete(Namvisha pete)
Namvisha pete wouwo

Visokoro kwenye wenye roho mbaya
Pelekeni habari
Hayawi, hayawi
Leo yamekuwa

Kishawishi tamaa
Mola baba, bado tulinde
Mwongozo wako ni nguzo kubwa sana
Kwenye ndoa yetu

Baba, mama
Nimeshapata chaguo langu
Tunafunga ndoa
Tutaishi kwenye shida na raha

Namvisha pete
Namvisha pete(Namvisha pete)
Namvisha pete(Namvisha pete)
Namvisha pete wouwo

Siombi kuoa ili nikuache
Naapa kwa viapo vyote
Tafsiri ya hili goti
Ni ahadi ya kuzeeka wote

Unielekeze
Kama utahisi nakosea
Nivute unirudishe
Kama ukiniona napotea

Mama wa familia, bas kiguu na njia
Nitunze mi na wanangu
Ambao ni wanao pia
Unanisikia ah-ah yanakuingia?

Mimi na wewe ni jeshi ya uwezo
Tushinde dunia
Na-na amini, darling lets do this
Tusukume siku, miezi, miaka
I promise you gon love it

Ingekuwa amri yangu
Ata kifo kisingetutenga Nisha,
wasione kiumbe  Kingine zaidi ya mimi na wewe
Mashallah

Namvisha pete
Namvisha pete(Namvisha pete)
Namvisha pete(Namvisha pete)
Namvisha pete wouwo

Namvisha pete(wouwo)
Namvisha pete(yeyeye)
Namvisha pete(yeiyee)
Namvisha pete(yeyeye)

Latest African Music Here

Follow Cristian Bella on instagram: https://www.instagram.com/bellachristian1/

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version