MUSIC

Bensoul – Peddi

Published

on

Bensoul Peddi Lyrics:

Nakuona kwenye lockdown yeah
Ningependa kuwa around bebe
Tungekuwa tumewasha
Ningekuwa nikimush up.
Kwenye picha weka hashtag
There’s nothing better kama good love and laughter yeah! Sema kile unatafta
& I will give you more and more and more

Ka si bahati basi
Niambie ni wapi
Utapatana na manzi
Hayuko kila pahali yeah
Hana chali
Hapendangi makali
Hapendangi maganji
Atakupenda kila hali

Haka kamali si kalocal ni kashashamane
Hako kafigure ni kale ni kanamba nane
Takuwa noma mi na wewe tukijabulani
Jabulani

Sol Generation Songs

Kama unatafuta peddi
Peddi wa mapenzi
Hii yangu ni heavy
I hope uko ready
nikuwe your peddi
Si nikuwe your peddi

( Apenji ×2
Si nikuwe your Peddi )×4

Mimi na wewe ni pare
Toka 7 hadi ngware
Karibia niigware
Na usiseme ni sare
We ni Jay mi ni nare
You’re the one I wanna marry
Tusiende in a hurry ,
& will give you more and more and more

Juu underwater
Nimekuwa nikikuota
Nataka kuwa locked na somebody’s daughter
Tukifika nyumbani hatutawahi toka
Tunaishi kileleni kama niko kwenye chopper

Haka kamali si kalocal ni kashashamane
Hako kafigure ni kale ni kanamba nane
Ningependa tu kuona tukijabulani
Jabulani

Kama unatafuta peddi
Peddi wa mapenzi
Hii yangu ni heavy
I hope uko ready
nikuwe your peddi
Si nikuwe your peddi

( Apenji ×2
Si nikuwe your Peddi )×4

Bensoul – Peddi (420 Vibes) 

We hope you Liked our Bensoul Peddi Lyrics!

 

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version