MUSIC

ASLAY Nichombeze Lyrics

Published

on

ASLAY Nichombeze Lyrics:

 

Eeh Oooh navaa suti,
tai weka sawa(sawa)
Mtoto roasti roasti yaani
kazi na dawa Kwake
sifurukuche yaani fire fire

Mtoto Ndizi karoti
helwa helwa
Mchuma nzuri na tali
bafana bafana Ah
nishamsomea dua

Aki cheat anagandana ananasana
Kiuno kama dancer waki Congo
Ana masifa akiinama
Mixer kuongea kimombo Kama kitoto cha Obama

Kitandani no longo longo(aaah…)
Kisafi no tongo tongo(aah..)
Kapewa undi katoa jambo
Mtoto ni fundi anajua mambo

Sinaga taabu baba wa kambo
Na nunua namvua namvalishaga
Ya habibi, ya habibi
Ya hayati, ya hayati
Ya habibi, ya habibi

Marashi ya moyo wangu eeh
Ya habibi (nichombeze)
Ya hayati (nilegezee)
Ya habibi(ayaya)
Tuliza mtima wangu eeeh

Mashindano, mashindano ni mazito
Hili jiko jamaa, halishikiki nila moto
Msuguano, mambo mpwito mpwito
Kiuno ni feni mama,
kitandani mafuriko

Nasimamia ukucha, usiku natetema(aah mama)
Akishikaga ukuta nashindwaga kuhema
Kazini kurudi narudigi mapema(aah mama)
Naogopa wenye nazo wasije ninyang’anya
Ninapata shida mwenzako

Ukitoka pekee yako
Usiniache nitakufa mwenzako(oooh)
Ya habibi(ooh beiby love),
ya hayati Ya habibi,

Marashi ya moyo wangu eeeh
Ya habibi nichombeze nichombeze
Ya hayati nilegeze legeze
Ya habibi usije nipoteza

Tuliza mutima wangu eeeh
Ya habibi, ya habibi Ya hayati,
we ndio wapekee Ya habibi,
aaai wewe Marashi ya moyo wangu eeh eeh

Ya habibi, nichombeze Ya hayati,
nilegezee Ya habibi, ayayaya
Tuliza mtima wangu eeeh
Shikamoo, shikamoo Shikamoo,

una ubaya gani?
Aii beiby shikamoo
Nakupa heshima, nakuamkia wee
Nakupendaa shikamoo Nakupendaa shikamoo
Nakupendaa  ooh beiby shikamoo Kwa unavyonifanyia wee
Ya habibi, ya habibi Weee, ya habibi

 

Nichomebeze Aslay

ASLAY- Nichombeze(Official Video)

 

 

Directed by Joowzey

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version