MUSIC

Aslay – Chuki

Published

on

Aslay Chuki Lyrics

Olalala

Maadui
Wamenizidi pesa na umri
Nashangaa
Sijui au tuseme nina kiburi

Nakataa
Hawanidai siwadai
Ila nashangaa wananichukia aaah
Chuki zisizo sababu

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Mi mnyongeee
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

Wanasema nalewa

Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

Eti Aslay kaishiwa

Mapumbu saba
Ridhiki unagawa tu maanani
Wengine labda
Wanataka kushindana na wewe

Mmh mpaka napiga magoti(Magoti)
Namlilia mama(Mama)
Kisha narudi kwako
Umlaze salama

Sawa nyinyi manoti noti
Tutakutana kiama
Mnyonge narudi kwako
Kwako Maulana

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Latest African Music Here

Mi mnyonge
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

Wanasema nalewa

Aslay Chuki Lyrics

Follow Aslay on Instagram: https://www.instagram.com/aslayisihaka/

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version