MUSIC

Aslay x Alikiba – Bembea

Published

on

Aslay Alikiba Bembea Lyrics!

yoh..
yop

ooh Wapi unawaumizaga
Niambie tuwakomeshe
Tuwakomeshe vishadai
Wavimbe wateseke

We nipende tu Nipe na nyota nitembelee
Wachawi viga kura Beiby tushikane tuwakemee
We ni doctor mi mgonjwa
Ndo maana nikikuona Mwenzako ninapona

Umenijaa akilini Ndo maana nakutaja Mwenzako kila ngoma
Beiby, tuifiche hiyo siri Tusionyeshe dhahiri
Huwanga wanasubiri Waone utavyonimwaga
Wa mbili awe mbili Wa kwanza tuwe wa kweli

Ah nataka ta takataa Natakata na penzi lako
Na nitadata nitadata Ukininyima hicho ulichokuwa nacho
Naridhika ridhika Naridhika na huba lako
Nakuahidi nitakufa Nikija kulikosa hilo penzi lako

Bembea, mahabuba bembea oooh
Bembea, nakuruhusu ning’inia
Kwenye moyo wangu Bembea,
lazizi bembea oooh

Bembea, mwenzako nasikia raha sana
Nasi tunazima data Simu zao tunakata
Tudanane kama mapacha
Wawili wawili, wawili twende mbele

yoh!

Ulivyo mtamu ratili Sukari usiongezee
Ujuzi unao, uzuri unao nashiba
Mahaba ilegezee eeh

Latest African Music Here

Ah ukinigusa nasisimua Janja bingwa wako sasambua
Umeniweza mtoto wa kishua
Shida zangu zote unatatua
Ndo maana nakupenda Palipo ufa tujenge

Usisikize wapambe wee We nipende nikupende
Na ndio maana nakupenda Tuifiche hiyo siri
Tusionyeshe dhahiri
Huwanga wanasubiri Waone utavyonimwaga

Wa mbili awe mbili Wa kwanza tuwe wa kweli
Wambeya wanasubiri wapate Cha kusemaga

Bembea, bembea unawamaliza Bembea,
wakose cha kusemaga Hakuna kutafuna Bembea,
bembea unawamaliza Bembea,
wakose cha kusemaga Hakuna kutafuna

Aslay x Alikiba-Bembea(Official Music Video)

Follow Aslay on Instagram: https://www.instagram.com/aslayisihaka/

Hope you liked our Aslay Alikiba Bembea Lyrics!

Leave a ReplyCancel reply

Trending

Exit mobile version